Yeremia 49:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 “Nami nitawavunja-vunja Waelamu mbele ya adui zao na mbele ya wale wanaoitafuta nafsi yao; nami nitaleta juu yao msiba, hasira yangu inayowaka,”+ asema Yehova. “Nami nitatuma upanga nyuma yao mpaka nitakapokuwa nimewaangamiza.”+
37 “Nami nitawavunja-vunja Waelamu mbele ya adui zao na mbele ya wale wanaoitafuta nafsi yao; nami nitaleta juu yao msiba, hasira yangu inayowaka,”+ asema Yehova. “Nami nitatuma upanga nyuma yao mpaka nitakapokuwa nimewaangamiza.”+