Ezekieli 2:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “Lakini wewe, mwana wa binadamu, usiwaogope,+ na usiogope maneno yao, ingawa umezungukwa na michongoma na miiba*+ na unakaa katikati ya nge. Usiogope maneno yao+ na usitishwe na nyuso zao,+ kwa maana wao ni nyumba ya uasi. Ezekieli Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 2:6 w07 7/1 12 Ezekieli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 2:6 Mnara wa Mlinzi,7/1/2007, uku. 12
6 “Lakini wewe, mwana wa binadamu, usiwaogope,+ na usiogope maneno yao, ingawa umezungukwa na michongoma na miiba*+ na unakaa katikati ya nge. Usiogope maneno yao+ na usitishwe na nyuso zao,+ kwa maana wao ni nyumba ya uasi.