Ezekieli 7:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa maana muuzaji hatakirudia kitu alichouza, hata uhai wake ukiokolewa, kwa maana maono hayo yanahusu umati wote. Hakuna atakayerudi, na kwa sababu ya kosa lake,* hakuna atakayeokoa uhai wake. Ezekieli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 7:13 Mnara wa Mlinzi,9/15/1988, uku. 13
13 Kwa maana muuzaji hatakirudia kitu alichouza, hata uhai wake ukiokolewa, kwa maana maono hayo yanahusu umati wote. Hakuna atakayerudi, na kwa sababu ya kosa lake,* hakuna atakayeokoa uhai wake.