Ezekieli 8:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Nilipokuwa nikitazama, niliona umbo lililoonekana kama moto; kulikuwa na moto chini ya kitu kilichoonekana kama kiuno chake,+ na kuanzia kiuno chake kwenda juu, mwonekano wake uling’aa kama mchanganyiko wa dhahabu na fedha.+ Ezekieli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 8:2 Mnara wa Mlinzi,9/15/1988, uku. 13
2 Nilipokuwa nikitazama, niliona umbo lililoonekana kama moto; kulikuwa na moto chini ya kitu kilichoonekana kama kiuno chake,+ na kuanzia kiuno chake kwenda juu, mwonekano wake uling’aa kama mchanganyiko wa dhahabu na fedha.+