Ezekieli 10:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Hao ndio viumbe hai niliokuwa* nimeona chini ya Mungu wa Israeli kwenye mto Kebari,+ basi nikajua kwamba walikuwa makerubi.
20 Hao ndio viumbe hai niliokuwa* nimeona chini ya Mungu wa Israeli kwenye mto Kebari,+ basi nikajua kwamba walikuwa makerubi.