Ezekieli 13:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 “Kwa hiyo, Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: ‘Niko dhidi ya tepe zenu enyi wanawake, mnazotumia kuwinda watu* kana kwamba wao ni ndege, nami nitazirarua kutoka mikononi mwenu na kuwafungua watu mnaowawinda kama ndege.
20 “Kwa hiyo, Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: ‘Niko dhidi ya tepe zenu enyi wanawake, mnazotumia kuwinda watu* kana kwamba wao ni ndege, nami nitazirarua kutoka mikononi mwenu na kuwafungua watu mnaowawinda kama ndege.