Ezekieli 13:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Kwa hiyo, ninyi wanawake hamtaona tena maono ya uwongo na kufanya uaguzi;*+ nami nitawaokoa watu wangu kutoka mikononi mwenu, nanyi mtalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova.’”
23 Kwa hiyo, ninyi wanawake hamtaona tena maono ya uwongo na kufanya uaguzi;*+ nami nitawaokoa watu wangu kutoka mikononi mwenu, nanyi mtalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova.’”