Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 18:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Asipatikane miongoni mwenu mtu yeyote anayemteketeza* motoni+ mwanawe au binti yake, mtu yeyote anayefanya uaguzi,*+ mtu yeyote anayefanya uchawi,+ mtu yeyote anayetafuta ishara za ubashiri,+ mlozi,+

  • Kumbukumbu la Torati 18:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 “Kwa maana mataifa haya mnayomiliki nchi yao yalikuwa yakiwasikiliza wale waliozoea uchawi+ na uaguzi,*+ lakini Yehova Mungu wenu hajawaruhusu mfanye jambo lolote kama hilo.

  • Yeremia 27:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 “‘“‘Kwa hiyo, msiwasikilize manabii wenu, waaguzi* wenu, waota-ndoto wenu, wachawi wenu, na walozi wenu, wanaowaambia: “Hamtamtumikia mfalme wa Babiloni.”

  • Mika 3:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 ‘Mtakuwa na usiku;+ hakutakuwa na maono;+

      Mtakuwa na giza tu, hakutakuwa na uaguzi.*

      Jua litatua kwa manabii,

      Na mchana utageuka kuwa giza kwao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki