Kumbukumbu la Torati 18:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “Kwa maana mataifa haya unayoyafukuza yalikuwa yakiwasikiliza wale wanaofanya uchawi+ na wale wanaoagua;+ lakini wewe, Yehova Mungu wako hajakupa kitu chochote kama hicho.+
14 “Kwa maana mataifa haya unayoyafukuza yalikuwa yakiwasikiliza wale wanaofanya uchawi+ na wale wanaoagua;+ lakini wewe, Yehova Mungu wako hajakupa kitu chochote kama hicho.+