7 Kwa maana ikiwa Mwisraeli yeyote au mgeni anayeishi Israeli anajitenga nami na kuazimia kufuata sanamu zake zinazochukiza na kuweka kikwazo kinachowafanya watu watende dhambi, kisha aje kuomba ushauri kutoka kwa nabii wangu,+ mimi, Yehova, nitamjibu mimi mwenyewe.