-
Ezekieli 14:7Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
7 kwa maana mtu yeyote kutoka katika nyumba ya Israeli au kutoka kati ya wakaaji wageni wanaokaa wakiwa wageni katika Israeli, anayejiondoa mwenyewe asinifuate+ na anayeleta sanamu zake za mavi juu ya moyo wake na kuweka kikwazo kinachosababisha kosa mbele ya uso wake na ambaye anamjia nabii ili kuuliza habari kwa ajili yake mwenyewe kupitia kwangu, mimi,+ Yehova, mimi mwenyewe ninakubali kumjibu.
-