Ezekieli 19:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Moto ukaenea kutoka kwenye matawi yake* na kuteketeza machipukizi yake na matunda yake, Na hakuna tawi lenye nguvu lililobaki, hakuna fimbo ya mfalme ya kutawala.+ “‘Huo ni wimbo wa huzuni, nao utatumiwa kama wimbo wa huzuni.’”
14 Moto ukaenea kutoka kwenye matawi yake* na kuteketeza machipukizi yake na matunda yake, Na hakuna tawi lenye nguvu lililobaki, hakuna fimbo ya mfalme ya kutawala.+ “‘Huo ni wimbo wa huzuni, nao utatumiwa kama wimbo wa huzuni.’”