Ezekieli 19:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Na moto ukatoka katika fimbo yake.+ Ukateketeza machipukizi yake, matunda yake, na ndani yake akawa hana fimbo yoyote yenye nguvu, fimbo yoyote ya enzi ya kutawalia.+ “ ‘Huo ni wimbo wa huzuni, nao utakuwa wimbo wa huzuni.’ ”+
14 Na moto ukatoka katika fimbo yake.+ Ukateketeza machipukizi yake, matunda yake, na ndani yake akawa hana fimbo yoyote yenye nguvu, fimbo yoyote ya enzi ya kutawalia.+ “ ‘Huo ni wimbo wa huzuni, nao utakuwa wimbo wa huzuni.’ ”+