15 Ndipo mkwamba ukaiambia miti, ‘Ikiwa kweli mnanitia mafuta niwe mfalme juu yenu, njooni, tafuteni kimbilio chini ya kivuli changu.+ Lakini kama sivyo, moto+ na utoke ndani ya mkwamba uiteketeze mierezi+ ya Lebanoni.’+
20 Kwa maana hayo yalitendeka katika Yerusalemu na katika Yuda kwa sababu ya hasira+ ya Yehova, mpaka alipokuwa amewatupa kutoka mbele za macho yake.+ Na Sedekia akaanza kumwasi mfalme wa Babiloni.+