Ezekieli 21:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 “Kwa hiyo, Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: ‘Mmefanya hatia yenu wenyewe ikumbukwe kwa kuyafunua makosa yenu na kufanya dhambi zenu zionekane katika matendo yenu yote. Kwa kuwa sasa mmekumbukwa, mtachukuliwa kwa nguvu.’* Ezekieli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 21:24 Mnara wa Mlinzi,9/15/1988, uku. 19
24 “Kwa hiyo, Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: ‘Mmefanya hatia yenu wenyewe ikumbukwe kwa kuyafunua makosa yenu na kufanya dhambi zenu zionekane katika matendo yenu yote. Kwa kuwa sasa mmekumbukwa, mtachukuliwa kwa nguvu.’*