Ezekieli 21:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 “Kwa hiyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi, ‘Kwa sababu mlifanya kosa lenu likumbukwe kupitia kufunuliwa kwa ukosaji wenu, ili dhambi zenu zionekane kulingana na matendo yenu yote, kwa sababu ya ninyi kukumbukwa+ mtakamatwa kwa mkono.’+ Ezekieli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 21:24 Mnara wa Mlinzi,9/15/1988, uku. 19
24 “Kwa hiyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi, ‘Kwa sababu mlifanya kosa lenu likumbukwe kupitia kufunuliwa kwa ukosaji wenu, ili dhambi zenu zionekane kulingana na matendo yenu yote, kwa sababu ya ninyi kukumbukwa+ mtakamatwa kwa mkono.’+