Ezekieli 23:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 “Kwa maana Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: ‘Niko karibu kukutia mikononi mwa wale unaowachukia, wale uliowaacha ukiwa umechukizwa.+
28 “Kwa maana Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: ‘Niko karibu kukutia mikononi mwa wale unaowachukia, wale uliowaacha ukiwa umechukizwa.+