Ezekieli 23:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 “Kwa maana Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi, ‘Tazama, ninakutia mkononi mwa wale ambao umewachukia, mkononi mwa wale ambao kutoka kwao nafsi yako imegeukia mbali ikiwa imechukizwa.+
28 “Kwa maana Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi, ‘Tazama, ninakutia mkononi mwa wale ambao umewachukia, mkononi mwa wale ambao kutoka kwao nafsi yako imegeukia mbali ikiwa imechukizwa.+