Ezekieli 24:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 “Nawe, mwana wa binadamu, siku nitakapoondoa ngome yao kutoka kwao—kitu maridadi kinachowaletea shangwe, kitu wanachokipenda sana, tamaa ya moyo wao*—pamoja na wana wao na mabinti wao,+
25 “Nawe, mwana wa binadamu, siku nitakapoondoa ngome yao kutoka kwao—kitu maridadi kinachowaletea shangwe, kitu wanachokipenda sana, tamaa ya moyo wao*—pamoja na wana wao na mabinti wao,+