27 Utajiri wako, bidhaa zako, mali zako, wanamaji wako, na mabaharia wako,
Wale wanaoziba nyufa zako kwa kalafati, wale wanaofanya biashara ya kubadilishana bidhaa zako,+ na wanaume wote wa vita+
—Umati wote ulio ndani yako—
Wote watazama katikati ya bahari kuu siku utakayoanguka.+