Ezekieli 29:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Nchi ya Misri haitakuwa tena tegemeo kwa watu wa nyumba ya Israeli,+ bali itawakumbusha tu kosa walilofanya kwa kutafuta msaada kutoka kwa Wamisri. Nao watalazimika kujua kwamba mimi ndiye Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.”’”
16 Nchi ya Misri haitakuwa tena tegemeo kwa watu wa nyumba ya Israeli,+ bali itawakumbusha tu kosa walilofanya kwa kutafuta msaada kutoka kwa Wamisri. Nao watalazimika kujua kwamba mimi ndiye Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.”’”