Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 30:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Wanashuka kwenda Misri+ bila kuniomba ushauri,*+

      Ili kupata usalama chini ya ulinzi wa Farao*

      Na kupata kimbilio katika kivuli cha Misri!

  • Isaya 36:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Basi Rabshake akawaambia: “Tafadhali, mwambieni hivi Hezekia: ‘Mfalme mkuu, mfalme wa Ashuru, anauliza, “Ujasiri wako unategemea msingi gani?+

  • Isaya 36:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Tazama! Unautumaini msaada wa utete huu uliopondeka, Misri, ambao mtu yeyote akiuegemea utamchoma kiganja na kukitoboa. Hivyo ndivyo Farao mfalme wa Misri alivyo kwa wote wanaomtumaini.+

  • Yeremia 2:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Sasa kwa nini unatamani njia ya kwenda Misri+

      Ili kunywa maji ya Shihori?*

      Kwa nini unatamani njia ya kwenda Ashuru+

      Ili kunywa maji ya ule Mto?*

  • Yeremia 37:5-7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Sasa jeshi la Farao lilikuwa limeondoka Misri,+ na Wakaldayo waliokuwa wakizingira Yerusalemu wakasikia habari kulihusu. Basi wakaondoka Yerusalemu.+ 6 Kisha neno la Yehova likamjia nabii Yeremia likisema: 7 “Yehova Mungu wa Israeli anasema hivi: ‘Mnapaswa kumwambia hivi mfalme wa Yuda, aliyewatuma kwangu kutafuta habari: “Tazama! Jeshi la Farao linalokuja kuwasaidia litalazimika kurudi nchini kwao, Misri.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki