Isaya 30:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Wanashuka kwenda Misri+ bila kuniomba ushauri,*+Ili kupata usalama chini ya ulinzi wa Farao*Na kupata kimbilio katika kivuli cha Misri! Isaya 31:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Ole wao wanaoshuka kwenda Misri kutafuta msaada,+Wanaotegemea farasi,+Wanaotumaini magari ya vita kwa sababu ni mengi,Na farasi wa vita* kwa sababu wana nguvu. Lakini hawamtegemei Mtakatifu wa Israeli,Na hawamtafuti Yehova. Maombolezo 5:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Tunainyooshea mkono Misri+ na Ashuru,+ ili tupate chakula cha kutosha.* Ezekieli 16:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Ulifanya ukahaba na wana wa Misri,+ majirani wako wenye uchu,* nawe ulinikasirisha kwa matendo yako yasiyohesabika ya ukahaba. Ezekieli 17:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Lakini mwishowe mfalme huyo alimwasi+ kwa kutuma wajumbe wake Misri ili apate farasi+ na jeshi kubwa kutoka huko.+ Je, atafanikiwa? Je, yule anayefanya mambo hayo ataponyoka adhabu? Je, anaweza kuvunja agano na bado aponyoke?’+
2 Wanashuka kwenda Misri+ bila kuniomba ushauri,*+Ili kupata usalama chini ya ulinzi wa Farao*Na kupata kimbilio katika kivuli cha Misri!
31 Ole wao wanaoshuka kwenda Misri kutafuta msaada,+Wanaotegemea farasi,+Wanaotumaini magari ya vita kwa sababu ni mengi,Na farasi wa vita* kwa sababu wana nguvu. Lakini hawamtegemei Mtakatifu wa Israeli,Na hawamtafuti Yehova.
26 Ulifanya ukahaba na wana wa Misri,+ majirani wako wenye uchu,* nawe ulinikasirisha kwa matendo yako yasiyohesabika ya ukahaba.
15 Lakini mwishowe mfalme huyo alimwasi+ kwa kutuma wajumbe wake Misri ili apate farasi+ na jeshi kubwa kutoka huko.+ Je, atafanikiwa? Je, yule anayefanya mambo hayo ataponyoka adhabu? Je, anaweza kuvunja agano na bado aponyoke?’+