Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 30:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Wanashuka kwenda Misri+ bila kuniomba ushauri,*+

      Ili kupata usalama chini ya ulinzi wa Farao*

      Na kupata kimbilio katika kivuli cha Misri!

  • Yeremia 44:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Nami nitawachukua watu wa Yuda waliobaki walioazimia kwenda nchini Misri kukaa huko, na wote wataangamia nchini Misri.+ Watauawa kwa upanga na kuangamia kwa njaa kali; kuanzia mdogo zaidi mpaka mkubwa zaidi, watakufa kwa upanga na kwa njaa kali. Nao watakuwa laana, kitu cha kutisha, matusi, na shutuma.+

  • Ezekieli 17:17, 18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Na lile jeshi kubwa na wanajeshi wengi wa Farao hawatamsaidia kamwe vitani,+ wakati boma la kuzingira litakapojengwa na kuta za kuzingira zitakapojengwa ili kuangamiza uhai wa* watu wengi. 18 Amedharau kiapo na kuvunja agano. Hata ingawa alitoa ahadi,* amefanya mambo hayo yote, naye hataponyoka.”’

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki