15 “Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: ‘Siku utakaposhuka kuingia Kaburini nitasababisha maombolezo. Kwa hiyo, nitayafunika maji yenye kina na kuvizuia vijito vyake ili maji yake mengi yazuiwe. Nitatia giza Lebanoni kwa sababu yake, nayo miti yote ya shambani itanyauka.