Ezekieli 33:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Ninapomwambia mtu mwadilifu: “Hakika utaendelea kuishi,” naye autumaini uadilifu wake mwenyewe na kutenda kosa,*+ hakuna tendo lolote la uadilifu alilotenda litakalokumbukwa, lakini atakufa kwa sababu ya kosa alilotenda.+ Ezekieli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 33:13 Ibada Safi, kur. 122, 124
13 Ninapomwambia mtu mwadilifu: “Hakika utaendelea kuishi,” naye autumaini uadilifu wake mwenyewe na kutenda kosa,*+ hakuna tendo lolote la uadilifu alilotenda litakalokumbukwa, lakini atakufa kwa sababu ya kosa alilotenda.+