13 Ninapomwambia mwadilifu: “Hakika utaendelea kuishi,” na yeye mwenyewe kwa kweli autegemee uadilifu wake mwenyewe na kutenda ukosefu wa haki,+ matendo yake yote ya uadilifu hayatakumbukwa, lakini kwa ukosefu wake wa haki ambao ameutenda—atakufa kwa sababu ya huo.+