-
Ezekieli 34:18Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
18 Je, hamtosheki kujilisha kwenye malisho yaliyo bora zaidi? Je, ni lazima myakanyage-kanyage kwa miguu yenu malisho yenu mengine? Na baada ya kunywa maji yaliyo safi zaidi, je, ni lazima myachafue kwa kuyakanyaga-kanyaga kwa miguu yenu?
-