Ezekieli 34:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Je, ni jambo dogo kwenu kwamba ninyi mnajilisha malisho yaliyo bora zaidi+ lakini yale malisho mengine yenu mnayakanyaga-kanyaga kwa miguu yenu, na kwamba maji safi mnayanywa lakini yaliyobaki mnayachafua kwa kuyakanyaga-kanyaga kwa miguu yenu?
18 Je, ni jambo dogo kwenu kwamba ninyi mnajilisha malisho yaliyo bora zaidi+ lakini yale malisho mengine yenu mnayakanyaga-kanyaga kwa miguu yenu, na kwamba maji safi mnayanywa lakini yaliyobaki mnayachafua kwa kuyakanyaga-kanyaga kwa miguu yenu?