-
Ezekieli 36:4Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
4 kwa hiyo, enyi milima ya Israeli, sikieni neno la Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova! Hivi ndivyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anavyoiambia milima na vilima, vijito na mabonde, magofu yaliyofanywa ukiwa,+ na majiji yaliyoachwa ambayo yameporwa na kudhihakiwa na wale waliookoka kutoka katika mataifa yanayowazunguka;+
-