Ezekieli 36:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Na mataifa yaliyobaki kukuzunguka yatalazimika kujua kwamba mimi mwenyewe, Yehova, nimejenga kilichobomolewa, nami nimepanda kilichofanywa ukiwa. Mimi mwenyewe, Yehova, nimesema, nami nimelitenda.’+
36 Na mataifa yaliyobaki kukuzunguka yatalazimika kujua kwamba mimi mwenyewe, Yehova, nimejenga kilichobomolewa, nami nimepanda kilichofanywa ukiwa. Mimi mwenyewe, Yehova, nimesema, nami nimelitenda.’+