Ezekieli 28:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Wataishi huko kwa usalama+ na watajenga nyumba na kupanda mashamba ya mizabibu+ na watakaa kwa usalama nitakapotekeleza hukumu dhidi ya wote wanaowazunguka ambao wanawadhihaki;+ nao watalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova Mungu wao.”’” Ezekieli 37:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 ‘Nitaitia roho yangu ndani yenu,+ nanyi mtakuwa hai, nami nitawafanya mwishi katika nchi yenu; nanyi mtalazimika kujua kwamba mimi mwenyewe, Yehova, nimesema nami nimelitenda,’ asema Yehova.”
26 Wataishi huko kwa usalama+ na watajenga nyumba na kupanda mashamba ya mizabibu+ na watakaa kwa usalama nitakapotekeleza hukumu dhidi ya wote wanaowazunguka ambao wanawadhihaki;+ nao watalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova Mungu wao.”’”
14 ‘Nitaitia roho yangu ndani yenu,+ nanyi mtakuwa hai, nami nitawafanya mwishi katika nchi yenu; nanyi mtalazimika kujua kwamba mimi mwenyewe, Yehova, nimesema nami nimelitenda,’ asema Yehova.”