Ezekieli 37:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kisha akaniambia: “Utabirie upepo. Tabiri, mwana wa binadamu, nawe uuambie upepo, ‘Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: “Njoo kutoka kwenye zile pepo nne, ewe upepo,* nawe uwapulizie watu waliouawa, ili wawe hai.”’” Ezekieli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 37:9 Ibada Safi, kur. 114-115
9 Kisha akaniambia: “Utabirie upepo. Tabiri, mwana wa binadamu, nawe uuambie upepo, ‘Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: “Njoo kutoka kwenye zile pepo nne, ewe upepo,* nawe uwapulizie watu waliouawa, ili wawe hai.”’”