9 Naye akaendelea kuniambia: “Tolea upepo unabii. Toa unabii, Ee mwana wa binadamu, nawe utauambia upepo, ‘Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi: “Ingia kutoka kwenye zile pepo nne, Ee upepo, na upulize juu ya watu hawa waliouawa,+ ili wawe hai.” ’ ”+