13 “‘Sheba+ na Dedani,+ wafanyabiashara wa Tarshishi+ na mashujaa wake wote watakuuliza: “Je, unavamia ili upore na kupata nyara nyingi? Je, umekusanya majeshi yako ili kubeba fedha na dhahabu, kuchukua utajiri na mali, ili kuteka nyara nyingi sana?”’