13 “ ‘Sheba+ na Dedani+ na wanabiashara wa Tarshishi+ na wana-simba wake wote wenye manyoya shingoni+—hao watakuambia: “Je, unakuja kuteka nyara kubwa? Je, umekutanisha kutaniko lako ili kupora kwa wingi, ili kuchukua fedha na dhahabu, kuchukua utajiri na mali, ili kuteka nyara kubwa sana?” ’