Ezekieli 40:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kisha akaja kwenye lango lililotazama mashariki+ na kupanda ngazi zake. Alipopima kizingiti cha lango hilo, upana wake ulikuwa utete mmoja, na upana wa kile kizingiti kingine ulikuwa utete mmoja pia.
6 Kisha akaja kwenye lango lililotazama mashariki+ na kupanda ngazi zake. Alipopima kizingiti cha lango hilo, upana wake ulikuwa utete mmoja, na upana wa kile kizingiti kingine ulikuwa utete mmoja pia.