Ezekieli 40:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Kulikuwa na ngazi saba zilizoelekea langoni,+ na ukumbi wake ulikuwa mbele yake. Nalo lilikuwa na michongo ya mitende kwenye nguzo zake za pembeni, mmoja kila upande.
26 Kulikuwa na ngazi saba zilizoelekea langoni,+ na ukumbi wake ulikuwa mbele yake. Nalo lilikuwa na michongo ya mitende kwenye nguzo zake za pembeni, mmoja kila upande.