Ezekieli 40:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Na palikuwa na ngazi saba za kulipandia, na ukumbi wake ulikuwa mbele yake.+ Nalo lilikuwa na maumbo ya mitende, moja upande huu na lingine upande ule juu ya nguzo zake za kando.
26 Na palikuwa na ngazi saba za kulipandia, na ukumbi wake ulikuwa mbele yake.+ Nalo lilikuwa na maumbo ya mitende, moja upande huu na lingine upande ule juu ya nguzo zake za kando.