Ezekieli 43:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kisha akaniambia: “Mwana wa binadamu, Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: ‘Hii ndiyo miongozo ya kufuata madhabahu inapotengenezwa, ili dhabihu nzima za kuteketezwa zitolewe na damu inyunyizwe juu yake.’+ Ezekieli Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 43:18 w99 3/1 19-20 Ezekieli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 43:18 Mnara wa Mlinzi,3/1/1999, kur. 19-20
18 Kisha akaniambia: “Mwana wa binadamu, Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: ‘Hii ndiyo miongozo ya kufuata madhabahu inapotengenezwa, ili dhabihu nzima za kuteketezwa zitolewe na damu inyunyizwe juu yake.’+