Ezekieli 43:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 ‘Unapaswa kuchukua kiasi fulani cha damu yake na kuitia kwenye zile pembe nne za madhabahu, juu ya ncha nne za kidato kinachozunguka pande zote, na juu ya ukingo unaozunguka pande zote, ili kuitakasa kutokana na dhambi na kufunika dhambi yake.+
20 ‘Unapaswa kuchukua kiasi fulani cha damu yake na kuitia kwenye zile pembe nne za madhabahu, juu ya ncha nne za kidato kinachozunguka pande zote, na juu ya ukingo unaozunguka pande zote, ili kuitakasa kutokana na dhambi na kufunika dhambi yake.+