Ezekieli 43:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Baada ya siku hizo kwisha, siku ya nane+ na kuendelea, kuhani atatoa dhabihu zenu* nzima za kuteketezwa na dhabihu za ushirika kwenye madhabahu; nami nitafurahishwa nanyi,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.”
27 Baada ya siku hizo kwisha, siku ya nane+ na kuendelea, kuhani atatoa dhabihu zenu* nzima za kuteketezwa na dhabihu za ushirika kwenye madhabahu; nami nitafurahishwa nanyi,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.”