27 Nao watamaliza siku hizo. Na itakuwa kwamba katika siku ya nane+ na kuanzia hapo na kuendelea makuhani watatoa juu ya madhabahu matoleo yenu mazima ya kuteketezwa na dhabihu zenu za ushirika; nami hakika nitapendezwa nanyi,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.”