Ezekieli 44:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Hawapaswi kumkaribia mwanadamu yeyote aliyekufa, la sivyo hawatakuwa safi. Hata hivyo, wanaweza kujichafua kwa ajili ya baba, mama, mwana, binti, au dada yao ambaye hajaolewa.+
25 Hawapaswi kumkaribia mwanadamu yeyote aliyekufa, la sivyo hawatakuwa safi. Hata hivyo, wanaweza kujichafua kwa ajili ya baba, mama, mwana, binti, au dada yao ambaye hajaolewa.+