Ezekieli 44:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Siku anayoingia katika mahali patakatifu, katika ua wa ndani, ili kuhudumu katika mahali patakatifu anapaswa kutoa dhabihu yake ya dhambi,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.
27 Siku anayoingia katika mahali patakatifu, katika ua wa ndani, ili kuhudumu katika mahali patakatifu anapaswa kutoa dhabihu yake ya dhambi,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.