Ezekieli 44:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Na katika siku atakayoingia ndani ya patakatifu, ndani ya ua wa ndani, ili kuhudumu ndani ya patakatifu, anapaswa kutoa toleo lake la dhambi,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.
27 Na katika siku atakayoingia ndani ya patakatifu, ndani ya ua wa ndani, ili kuhudumu ndani ya patakatifu, anapaswa kutoa toleo lake la dhambi,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.