15 Na kutoka katika kundi la mifugo ya Waisraeli, kondoo mmoja anapaswa kutolewa kwa kila kondoo 200. Hawa watatolewa kwa ajili ya toleo la nafaka,+ dhabihu nzima ya kuteketezwa,+ na dhabihu za ushirika,+ ili kufunika dhambi za watu,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.