15 Na kondoo mmoja kutoka katika kundi, kutoka katika mifugo mia mbili ya Israeli,+ kwa ajili ya toleo la nafaka+ na kwa ajili ya toleo zima la kuteketezwa+ na kwa ajili ya dhabihu za ushirika,+ ili kufanya upatanisho kwa ajili yao,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.