Ezekieli 45:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 “Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: ‘Katika mwezi wa kwanza, siku ya kwanza ya mwezi huo, unapaswa kumchukua ng’ombe dume mchanga asiye na kasoro kutoka katika mifugo, nawe utapatakasa mahali patakatifu kutokana na dhambi.+
18 “Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: ‘Katika mwezi wa kwanza, siku ya kwanza ya mwezi huo, unapaswa kumchukua ng’ombe dume mchanga asiye na kasoro kutoka katika mifugo, nawe utapatakasa mahali patakatifu kutokana na dhambi.+