Ezekieli 45:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 “Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi, ‘Katika mwezi wa kwanza, siku ya kwanza ya mwezi huo, utamchukua ng’ombe-dume mchanga, mwana wa mifugo, ambaye hana kasoro,+ nawe utapatakasa patakatifu kutokana na dhambi.+
18 “Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi, ‘Katika mwezi wa kwanza, siku ya kwanza ya mwezi huo, utamchukua ng’ombe-dume mchanga, mwana wa mifugo, ambaye hana kasoro,+ nawe utapatakasa patakatifu kutokana na dhambi.+